Hawa ni watu wenye akili zao timamu kabisaaa!!! Sijui nini kimewapata!
Haya sijui ni mazoezi? Sijui ni moja ya yale masharti magumu yatolewayo na sangoma? Je wewe una maoni gani au wameambiwa kule kuna pesa na masharti ya kuziona hizo pesa lazima uende ukiwa mtupu, jamani kweli haya ni malimwengu!!
No comments:
Post a Comment