Tuesday, July 28, 2009

Wanawake wataiunga mkono Benki yao, kama uchaguzi tu wanaangushana?


Benki ya Wanawake nchini (Tanzania Women's Bank Ltd) inatarajiwa kufungua mirango yake rasmi hapo kesho mtaa wa Kwepu Jijini.
Je ni mkombozi wa kweli wa WANAWAKE nchini? yetu sote ni subira tu.

No comments:

Post a Comment