Wednesday, August 26, 2009

Msaada wa kupambana na mafua ya ndege


Katibu Mkuu wa Jumaiya ya Afrika mashariki Balozi Juma Mwapachu (kushoto) akipokea funguo na nyaraka za magari saba kutoka kwa Meneja kampuni ya CMC tawi la Arusha Suresh Nathwani (kulia) jana katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya AICC.Magari hayo yametolewa kama msaada na Umoja wa Ulaya (EU) kwa ajili ya mradi wa kuthibiti ugonjwa wa homa ya mafua ya ndege katika nchi wananchama wa jumuiya hiyo

No comments:

Post a Comment