Friday, August 28, 2009

Sasatel yatinga kwa Kova


Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu za mkononi Sasatel Christian Haeger akikabidhi vifaa mbalimbali vya mawasiliano kwa Kamanda wa kanda maalum ya Dar es Salaam SACP Suleiman Kova katika makabidhiano yaliyofanyika polisi kati jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment