Dullonetwork | Habari katika Picha na Matukio
Monday, August 24, 2009
Waumini wasafisha Hospitali
Baadhi ya waumini wa Kanisa la Yesu Kristo la watakatifu wa siku za Mwisho Dar es Salaam wakipaka rangi baadhi ya vitanda vya Hospitali ya Temeke jana wakati waumini hao walipokuwa wakifanya usafi wa mazingira na wodi Hispitalini hapo.
Wakipiga deki viambaza
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment