Dullonetwork | Habari katika Picha na Matukio
Friday, September 18, 2009
Albino ajisalimisha kwa sangoma
Mlemavu wa Ngozi (Albino) Festo akiwa na Mganga wa jadi Antony Mwandulami (kulia) mara baadaya kujisalimisha kwa mganga huyo kuomba hifadhi baada ya kutishiwa kuuwawa na watu wanaotafuta viungo vya maalbino
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment