Dullonetwork | Habari katika Picha na Matukio
Saturday, September 26, 2009
JK Na Kamaresh New York
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Bwana Kamaresh Sharma jijini New York .Rais Kikwete yupo jijini New York Marekani ambapo anahudhuria Mkutano Mkuu Baraza la Umoja wa Mataifa(Picha: Freddy Maro)
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment