Tuesday, September 15, 2009

Mazishi ya Meja Jenerali Luhanga


Mabrigedia Jenerali wa Jashi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakiushusha kaburini mwili wa Meja Jenerali Mstaafu James Luhanga


Watoto wa marehemu Meja Janerali Mstaafu James Luhanga wakiweka mchanga katika kaburi la baba yao. Luhanga amezikwa leo kijini kwa Wenda, Iringa Vijijini.

No comments:

Post a Comment