Warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania 2009 wakishuka kwenye basi baada ya kuwasili leo mchana Girrafe Ocean View Hotel Kunduchi wakitokea Mkoani Arusha ambako walitembelea mbuga mbalimbali za wanyama kwa lengo la kuhamasisha utalii wa ndani, Bodi ya Utalii nchini (TTB) imedhamini shindano hilo kwa lengo la kuutangaza zaidi utalii wa ndani kupitia fani ya urembo , shindano la Miss Tanzania linatarajiwa kufanyika oktoba 2 mwaka huu kwenye ukumbi wa Mlimani City Jijini.
Tuesday, September 22, 2009
Miss Tanzania wakitoa katika Utalii
Warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania 2009 wakishuka kwenye basi baada ya kuwasili leo mchana Girrafe Ocean View Hotel Kunduchi wakitokea Mkoani Arusha ambako walitembelea mbuga mbalimbali za wanyama kwa lengo la kuhamasisha utalii wa ndani, Bodi ya Utalii nchini (TTB) imedhamini shindano hilo kwa lengo la kuutangaza zaidi utalii wa ndani kupitia fani ya urembo , shindano la Miss Tanzania linatarajiwa kufanyika oktoba 2 mwaka huu kwenye ukumbi wa Mlimani City Jijini.
No comments:
Post a Comment