Tuesday, September 29, 2009

Viongozi wetu wametokea huku lakini leo hii ni mafisadi wakubwa na wanasahau walikotoka na waliowaacha nyuma yao.


Hili ni taifa la kesho, je na hawa watakuja kuwa mafisadi wakubwa katika nchi hii hapo baadae?

No comments:

Post a Comment