Dullonetwork | Habari katika Picha na Matukio
Friday, September 11, 2009
Washindi wa Quraan
Washindi wa shindano la kuhifadhi Quraan wakiwa na zawadi zao huko
Chwale Micheweni Pemba.
Mke wa Rais wa Zanzibar mama Shadya Karume akimkabidhi zawadi Mshindi Juma Omar ambaye amihifadhi juzuu 1
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment