WAZIRI MKUU AKIZUNGUMZA NA KIONGOZI WA JIMBO LA GUJARAT INDIA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri Kiongozi wa Jimbo la Gujarat nchini India, Narendra Modi kwenye hoteli ya Gateway katika jimbo hilo, jana wakati wa ziara yake nchini humo. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
No comments:
Post a Comment