Dullonetwork | Habari katika Picha na Matukio
Wednesday, October 7, 2009
Ajira za watoto
Watoto wadogo wenye umri wa kwenda shule huko Mkoani Mbeya,walikutwa wakigonga mawe kwa ajili ya kupata kokoto walizokuwa wakiziuza sh.1000 kwa debe moja.kwa kweli hii hali ni ya kusikitisha sana katika taifa letu hili.Picha na Michael Jamson
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment