Wednesday, October 21, 2009

Chikawe azindua cheti kipya cha kuzaliwa

Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe akikata utepe kuzindua cheti kipya cha kuzaliwa, jijini Dar leo. Anayeshuhudia ni Katibu Mkuu wa wa wizara hiyo, Oliver Mhaiki. Cheti hicho kimetengenezwa kwa utaalamu wa hali ya juu kudhibiti kanyaboya

No comments:

Post a Comment