Rais Jakaya Kikwete akijiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za Mtaa unaotaraji kufanyika baade mwezi huu katika Kituo namba moja, mtaa wa Kivukoni, kilichopo shule ya msingi Bunge Dar es Salaam Oktoba 5 2009,mchana. Kikwete alikuwa ni mwananchi wa 12 kujiandikisha tangu kuanza kwa zoezi hilo kituoni hapo jana. Kulia ni Mwalimu Issa Kipengele anaye mwandikisha.
No comments:
Post a Comment