Tuesday, October 6, 2009

Pinda alipoingia Muhimbili

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Mkurugezi wa Idara ya Maafa katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Meja Jenerali Bakari Shaaban ambaye amelazwa katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam, Oktoba 3, 2009. Kulia ni Mke wa Meja Jenerali Shaaban, Zaina Said.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kimpa pole Mkuu wa Wilaya ya Temeke ambaye amelazwa katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam kwa matibabu, October 3, 2009.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

2 comments:

  1. Hodi hodi Dullo.
    Nafurahi kufika kibarazani kwenu wakuu.
    Ni habari njema mtupazo na naamini niko nyumbani sasa. Na ntakuwa naingia kama kwetu. Lol
    Karibuni CHANGAMOTONI

    ReplyDelete
  2. Wandugu, nimesaka email yenu kuwapa hizi habari lakini nimewakosa. Mwaweza kuwajulisha wanamichezo na hasa "walevi" wa masumbwi juu ya Mpambano wa Roger "The Tiger" Mtagwa vs Lopez jumamosi hii.
    Info zaidi mwaweza kuzipata hapa http://changamotoyetu.blogspot.com/2009/10/rogers-tiger-mtagwa-ndani-ya-pay-per.html
    PamoJAH Daima

    ReplyDelete