Dullonetwork | Habari katika Picha na Matukio
Saturday, October 17, 2009
Watu wachukua chao Kipawa
Mkazi wa Kipawa , jijini Dar es Salaam,Coustansia Kasale akipokea hundi ya malipo kwa ajili ya nyumba ambazo zitabomolewa kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.(Picha na Yusuf Badi).
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment