Dullonetwork | Habari katika Picha na Matukio
Wednesday, November 4, 2009
JK na mratibu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagana na Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini Bwana Alberic Kacou muda mfupi baada ya kufanya naye mazungumzo ikulu jijini Dar es Salaam jana asubuhi.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment