Mwanariadha kutoka mkoa wa Arusha, Pius Sulle akikimbia mbio maalumu za kukimbiza bendera ya taifa kwa kupokezana kutoka Chalinze hadi Segera baada ya kupokea bendera hiyo kutoka kwa wenzao wa Dar es Salaam, juzi. kabla ya kuhitimisha mbio hizo siku ya ijumaa kwa kuipandisha katika kilele cha mlima wa Kilimanjaro. Mbio hizo za kampeni ya ‘Fikisha Tanzania katika hatua za juu’ zimedhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro
No comments:
Post a Comment