Friday, December 18, 2009

JB Mpiana awasili Dar

mwanamuziki wa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo JB Mpiana akipungia mashabiki wakati alipotua Dar usiku huu tayari kwa shoo yake na Tshala Muana Ijumaa hii jijini Dar katika ukumbi wa Ubungo Plaza


JB Mpiana na kundi lake zima wakiwasili Dar usiku huu

No comments:

Post a Comment