
Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais Muungano, Muhammed Seif Khatib akimsikiliza makamu mwenyekiti wa tume ya pamoja ya fedha ya jamhuri ya muungano wa tanzania bw abrahaman mwinyi jumbe jambo wakati waziri alipotembelea tume ya pamoja ya fedha ya jamhuri ya muungano wa tanzania huko zanzibar

Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais (muungano) Mh. Muhammed Seif Khatib akimsikiliza makamu mwenyekiti wa tume ya pamoja ya fedha ya muungano Bw. Abrahaman Mwinyi Jumbe wakati wa ziara ya waziri kutembelea taasisi za muungano huko zanzibar leo.
picha na Ali Meja
No comments:
Post a Comment