Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la Marehemu Dr.Lawrence Gama wakati wa mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Amani Makolo,wilyani Mbinga,Mkoani Ruvuma leo jioni.Dr.Gama aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwemo Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa na Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM(photo by Freddy Maro)
No comments:
Post a Comment