Hapa ilikuwa ni kushangweka kwa kwenda mbele kama unavyowaona wapenzi wa bendi ya machozi wakiserebuka vya kutosha stejini kwenye klabu ya Arabela usiku wa Valentine
Lady Jay Dee aka Binti Komadoo akifanya vitu vyake jukwaani wakati bendi yake ya machozi ilipofanya onyesho la wapendanao kwenye klabu ya Arabela usiku wa Valentine, kushoto ni mwimbaji mahiri wa bendi hiyo Jonico Flower, usiku huo ulikuwa bomba na watu walionekana kuwa na furaha huku wakinywa, wakicheza muziki na kufurahia maisha na wenza wao ama ndugu zao wawapendao
No comments:
Post a Comment