Dullonetwork | Habari katika Picha na Matukio
Thursday, February 18, 2010
Ukarabati waanza ofisi ya SA, Sofia House
Ofisi za Uwakala wa Tiketi wa shirika la ndege la Afrika Kusuni ambazo zilishika moto hivi karibuni katika jengo la Sophia mtaa wa Maktaba na Bibi Titi limeanza kufanyiwa ukarabati na siku si nyingi watarejea katika huduma kama kawaida.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment