Baba! Bujaga Izengo Kidago naye alikuwepo katika sherehe hizo akiwa sambamba na mwandishi wa gazeti la Uhuru mkoa wa Morogor,Latifa Ganzel
hawa ni baadhi ya waandishi wa habari waliohudhulia sherehe ya kuukaribisha mwaka 2010
Mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa Morogoro,Ahmed Msangi (kushoto) Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro,Amir Nondo (katikati) na mwenyekiti wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa morogoro,Boniveture Mtalimbo wakigongesha glasi kama ishara ya kuukaribisha mwaka 2010. Picha zote toka Bongo Ndiyo Home Blog
No comments:
Post a Comment