Dullonetwork | Habari katika Picha na Matukio
Wednesday, February 17, 2010
Wadau walamba milioni za tigo bwerere leo
Meneja wa promosheni wa Tigo Redemptus Masanja (shoto) akimkabidhi kitita cha shilingi milioni moja Bw. Imani Kayange wa Kiwalani Rumo kama zawadi yake ya Tigo Bwerere leo jijini Dar, huku meneja uhusiano Jackson Mmbando akipiga chabo katikati.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment