Afisa Umwagiliajikutoka kanda ya Morogoro Kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji Rojers Ishengoma (shati jeupe na miwani )akimpatia maelezo Waziri wa maji na Umwagiliaji Prof. Mark Mwandosya jana alipotembelea kuangalia shamba la umwagiliaji wa wana ushirika wa Segeni Wilaya ya Rifiji. (aliyevaa kaunda ya maji bahari ) Mkuu wa wilaya ya Rufiji Kassim Majaliwa.
Monday, February 22, 2010
WAZIRI MWANDOSYA ATEMBELEA MIRADI YA MAJI NA UMWAGILIAJI RUFIJI
Afisa Umwagiliajikutoka kanda ya Morogoro Kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji Rojers Ishengoma (shati jeupe na miwani )akimpatia maelezo Waziri wa maji na Umwagiliaji Prof. Mark Mwandosya jana alipotembelea kuangalia shamba la umwagiliaji wa wana ushirika wa Segeni Wilaya ya Rifiji. (aliyevaa kaunda ya maji bahari ) Mkuu wa wilaya ya Rufiji Kassim Majaliwa.
No comments:
Post a Comment