Tuesday, March 16, 2010

Askari Aliyekataa Rushwa Kiwanja Cha Ndege Cha Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Huyu Hapa

Askari namba E. 7235 PC John Anthony Mwesongo wa kituo cha polisi cha Polisi Kiwanja cha ndege cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akionyesha hundi yake


Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Saidi Mwema akimkabidhi askari namba E. 7235 PC John Anthony Mwesongo wa kituo cha polisi cha Polisi Kiwanja cha ndege cha Mwalimu Julius Nyerere hundi yake ya shilingi Milioni Nnne katika ukumbi wa maofisa wa polisi Oysterbay Jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment