Rais Jakaya Kikwete akimfariji Inspekta Jenerali mstaafu wa Jeshi la Polisi Harun Mahundi kufuatia kifo cha Mke wake Clara Mahundi,wakati Rais alipokwenda nyumbani kwa Kamanda Mahundi kuifariji familia hiyo
Rais Jakaya Kikwete akipita kutoa heshima za mwisho kwa Marehemu Clara Mahundi
No comments:
Post a Comment