Monday, March 1, 2010

Makada wa CCM Kilimanjaro

Kada Adamu Besti Simba akikabithiwa na wazee upinde na mshale kwa ajili ya kuweza kupigana na kuhakikisha ananyakua jimbo la moshi mjini





Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Mh. Beno Malisa akikabidhiwa Umangi wa mkoa wa kilimanjaro na wazee wa mkoa huo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Manyema mjini Moshi wikiendi hii

No comments:

Post a Comment