Tuesday, March 23, 2010

MANENO YA WAHENGA


Hapa nimevutiwa na maandishi kwani kweli wahenga walisema maskini haokoti na akiokota huambiwa kaiba. Hivyo ndivyo lilivyosomeka gari la mafuta huko kijijini Mwendapole Mkoa wa Pwani leo nami nikaona niwaleteeni wdau ujumbe huu. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO

No comments:

Post a Comment