Maafisa wa benki ya NMB wakimpa pole mmoja wa wagonjwa waliolazwa kwenye kituo cha afya cha Namtumbo, wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma. Maafisa wa NMB walikabidhi magodoro na drandarua kwenye kituo hicho ikiwa ni msaada wa benki hiyo juzi. NMB pia ilitoa misaada mbalimbali kwa ujenzi wa mashule wilayani humo yote ikiwa na thamani ya shillingi millioni 10m/-. Makabidhiano hayo yalifanyikia wilayani namtumbo juzi.
Friday, March 26, 2010
NMB yaikumbuka Namtumbo
Maafisa wa benki ya NMB wakimpa pole mmoja wa wagonjwa waliolazwa kwenye kituo cha afya cha Namtumbo, wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma. Maafisa wa NMB walikabidhi magodoro na drandarua kwenye kituo hicho ikiwa ni msaada wa benki hiyo juzi. NMB pia ilitoa misaada mbalimbali kwa ujenzi wa mashule wilayani humo yote ikiwa na thamani ya shillingi millioni 10m/-. Makabidhiano hayo yalifanyikia wilayani namtumbo juzi.
No comments:
Post a Comment