Thursday, April 8, 2010

Jamaa hajajua kama Guta lake ni Jike au Dume, yuko bize akichunguza.

Chini na Juu Dereva wa Guta akiwa chini ya uvungu wa guta lake lililosheheni mzigo, akitengeneza baada ya usafiri huo kumuharibikia akiwa katika barabara ya Nyerere eneo la Darajani jijini Dar es Salaam.


Picha kwa hisani ya Sufian Maphoto Blog

No comments:

Post a Comment