Mkurugenzi wa kampuni ya Samsung Patricia King'ori akimkabidhi simu aina ya Samsung Star mmoja wa warembo walioshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania mwaka jana Frolence Josephat wakati kampuni hiyo ilipotangazwa kuwa mdhamini mwenza wa Miss Tanzania mwaka huu kulia ni Ramesh Shah Jaji mkuu Miss Tanzania na kushoto ni Hashim Lundenga Mkurugenzi Miss Tanzania.
Thursday, August 20, 2009
Voda yapata mdhamini mwenza Miss Tanzania
Mkurugenzi wa kampuni ya Samsung Patricia King'ori akimkabidhi simu aina ya Samsung Star mmoja wa warembo walioshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania mwaka jana Frolence Josephat wakati kampuni hiyo ilipotangazwa kuwa mdhamini mwenza wa Miss Tanzania mwaka huu kulia ni Ramesh Shah Jaji mkuu Miss Tanzania na kushoto ni Hashim Lundenga Mkurugenzi Miss Tanzania.
No comments:
Post a Comment