Thursday, October 8, 2009

Mtoto wa Mkulima

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Katibi Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Asha Rose Migiro kwenye hoteli ya Intercontinental jijini Geneva ambako walihudhuria Mkutano wa Shirika la Kimayaifa la Mawasiliano Oktoba 7, 2009.

No comments:

Post a Comment