Thursday, March 25, 2010

Balozi wa Norway nchini aaga


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,akisalimiana na Balozi wa Norway nchini Tanzania,Jon Lomoy aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi.Picha kwa hisani ya Ramadhan Othman Ikulu zanzibar.

No comments:

Post a Comment