Thursday, March 25, 2010

Maadhimisho siku ya kifua kikuu Ruvuma


Baadhi ya wananchi wa Kata ya Ruvuma Manispaa ya Songea wakiwa katika Msururu kupima afya zao hasa VVU/UKIMWI na Makohozi katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani kilichoadhimishwakimkoa Mtaa wa Ruvuma Chini ,Songea Mjini Jumatano wiki hii.Picha na Juma Nyumayo

No comments:

Post a Comment