Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,DK Amani Abeid Karume,akisalimiana na Mwakilishi wa UNICEF nchini Tanzania, Heimo Laakkomen,aliyekuja kumuaga Rais,Ikulu Mjini Zanzibar,baada ya kumaliza muda wake wakazi Nchini.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.Zanzibar
Monday, March 29, 2010
Mwakilishi wa Unicef aaga Ikulu Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,DK Amani Abeid Karume,akisalimiana na Mwakilishi wa UNICEF nchini Tanzania, Heimo Laakkomen,aliyekuja kumuaga Rais,Ikulu Mjini Zanzibar,baada ya kumaliza muda wake wakazi Nchini.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.Zanzibar
No comments:
Post a Comment