Wageni mbalimbali wakiwa wamekaa wakati wa uzinduzi wa tawi la SIMBA NG'ATA. Tawi hilo lilifunguliwa rasmi naMwenyekiti wa Simba Mzee Hassan Dalali aliyefuatana na Mweka hazina msaidizi wa SSC bwana Chano. , aliyekaa katikati ya Chano na Dalali ni Mwenyekiti wa muda wa tawi hilo anayejulikana kwa jina la Moloto, na kushoto kwa Dalali ni Hamisi Jabu baba yake mzazi na mchezaji wa SSC Juma Jabu.
Monday, March 29, 2010
Simba na mikakati mbadala
Wageni mbalimbali wakiwa wamekaa wakati wa uzinduzi wa tawi la SIMBA NG'ATA. Tawi hilo lilifunguliwa rasmi naMwenyekiti wa Simba Mzee Hassan Dalali aliyefuatana na Mweka hazina msaidizi wa SSC bwana Chano. , aliyekaa katikati ya Chano na Dalali ni Mwenyekiti wa muda wa tawi hilo anayejulikana kwa jina la Moloto, na kushoto kwa Dalali ni Hamisi Jabu baba yake mzazi na mchezaji wa SSC Juma Jabu.
No comments:
Post a Comment