President Jakaya Kikwete meets the UN Secreary General Ban Ki Moon at the UN Headquarters in New York
The UN Secretary General Ban-ki Moon welcomes President Jakaya Mrisho Kikwete at his UN Headquarters office in New York today for official talks

The UN Secretary General Ban-ki Moon welcomes President Jakaya Mrisho Kikwete at his UN Headquarters office in New York today for official talks

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini, Radhia Msuya (katikati) na Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Patrick Tsere , Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma, Aprili 16, 2010.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Meneja Matukio na promosheni wa kampuni ya bia ya Serengeti(SBL) Bwana Bahati Singh, akionyesha kipeperesushi kinachoonesha zawadi mbalimbali kwa waandishi wa habari leo Dar es salaam. Kesho zawadi hizi zitatolewa kwenye viwanja vya Kinondoni Boafra and Mwembe yanga Temeke. Kulia ni na Afisa Habari Mwandamizi wa SBL Bwana Imani Lwinga
Miss Universe wa mwaka 2009 Illuminata James, akimkagua mmoja wa waremmbo, Warembo wanaoshiriki mashindano ya Miss Universe 2010 , Nezia Anthony wakati wa kuanza rasmi kwa kambi yao katika Hoteli ya Giraffe Dar es salaam leo.
Mkurugenzi wa Kampuni yaCompas Communicatins Maria Sarungi ambaye pia ndiye mwandaaji wa Miss Universe Tanzania akiongea mbele ya wageni mbalimbali na warembo wakati warembo wapatao 20 walipoingia rasmi kambini kwa muda wa wiki moja katika hoteli ya Girrafe Ocean View Mbezi kujiandaa na shindano hilo linalotarajiwa kufanyika aprili 23 kwenye ukumbi wa Mlimani City baadae mwaka huu jijini Dar es salaam.
(picha na Mohamed Mambo)
Warembo wanaoshiriki mashindano ya Miss Universe wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kuanza rasmi kwa kambi yao katika Hoteli ya Giraffe Dar es salaam leo.
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC), Elishilia Kaaya (kulia) akibadilishana na Katibu wa TUICO Mkoa wa Arusha, Hussein Ngowo mkataba wa kuunda Baraza la Wafanyakazi tawi la Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC). Mkataba huo ulisainiwa katika ofisi za AICC mjini Arusha. Kushoto ni Katibu wa TUICO tawi la AICC, Rashid H. Rashid.


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Aprili 15, 2010

The UN Secretary General Ban Ki Moon welcomes President Jakaya Mrisho Kikwete for joint Press Conference shorlt after the conclusion of a special UN closed door meeting on improving Maternal Health Held at the UN Headqarters in New York this morning.
President Jakaya Mrisho Kikwete welcomes the Executive Director for the United Nations Population Fund(UNFPA) Dr.Thoraya Obaid in New York for official talks this morning the President later participated in a specil meeting on Improving Maternal Health convened by the UN Secretary General Ban -ki Moon at the UN Headquarters.

MENEJA MAUZO WA ZANTEL MKOA WA MWANZA Bw.KENNEDY NDONONDO AKIMKABIDHI MSHIDI WA PROMOSHENI YA CHOMOKA NA PIKPIKI Bw.FRED KISSAKA TOKA MWANZA ALIYEJISHINDIA PIPIKI. ZANTEL INAENDESHA PROMOSHENI KABAMBE KWA WAKAZI WA MWANZA NA MARA TU, ILI KUSHIRIKI TUMA NENO PIKIPIKI KWENDA 15583 NA UJISHINDIE ZAWADI KIBAO.
Kinamama wakipata maelezo ya huduma za Muhimbili



Meneja Masoko wa Kampuni ya Bayport Financial Services Bw. Ngula Cheyo Kushoto akimkabidhi kaimu Katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Bw. Dashhood Mndeme vifaa mbalimbali vya michezo vitakavyotumiwa na Jeshi la Polisi katika michezo yao itakayofanyika wakati wa maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani (Mei Mosi)ambayo huadhimishwa Tarehe 1 Mei kila mwaka duniani kote, hafla ya makabidhiano imefanyika makao makuu ya Wizara ya Mambo ya ndani leo asubuhi.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakisikiliza maelezo ya ofisa wa kampuni ya Bayport Financial Services
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwenyekiti wa Usalama Barabarani upande wa watu wenye ulemavu , Jutoram Kabatelle kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo Aprili 14, 2010.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Kuteuliwa , Kingunge Ngombale -Mwiru kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma,
Wanahabari za michezo wa wakifuatilia kwa makini semina ya siku moja ya namna ya kuripoti habari za mashindano ya Kili Taifa Cup 2010 yaliyozinduliwa hivi karibuni jijini Dar es Salaam,inayoendelea kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mjimwema uliopo katika hoteli ya South Beach resort,Kigamboni
Mshindi wa Mwaka jana wa Tuzo Milionea Bw.Renatus Mkinga akisisitiza jambo kwa Afisa masoko wa Vodacom Tanzania Daniel Kijo wakati wakichezesha Droo ya kumtafuta mshindi wa Tuzo Milionea ambapo Benard John mkazi wa Morogoro ndiye aliyeibuka mshindi na kujinyakulia shilingi Milioni 100 katika Promosheni ya Tuzo Milionea,anayefuata ni Msimamizi wa bodi ya kubahatisha Tanzania Mrisho Milao na Meneja Matukio na Promosheni Rukia Mtingwa.
Watendaji wakuu wa Kampuni ya simu ya Zain, kutoka kushoto, Meneja Masoko Constatine Magavila, Mkurugenzi wa Masoko Ahsan Syed, Mkurugenzi Mkuu Khaled Muhtadi, Ofisa Biashara Mkuu Chirayi Walingo na Mkurugenzi wa Mtandao Thiery Dussanova wakionyesha mabango yanayoonesha gharama za malipo ya shilingi moja kwa sekunde baada ya kuzindua rasmi promosheni hiyo ambayo inaitwa 'Uhuru wa Kuongea', jana Dar es Salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Karatu, Dr. Wilbroad Slaa kwenye ukumbi wa zamani wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma, Aprili 13, 2010. Bunge lilihamia katika ukumbi huo baada ya mfumo wa sauti katika ukumbi mpya wa Bunge kupata hitilafu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
© Dullonet template by Dullonet.com 2009
Back to TOP