Precision Air yasaidia yatima kituo cha Cornel Ngaleku, Moshi

Meneja wa Upikaji Bia wa Kiwanda cha Bia Tanzania (TBL),Dar es Salaam, Kalvin Nkya (wa pili kushoto), akitoa maelezo kwa Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari, nchini, jinsi bia inavyochachushwa, walipotembelea kiwanda hicho, jana. Kushoto ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Maneno Mbegu.
Rais wa Shirikisho la Mpira nchini Rodger Tenga amesema tayari wana mawasiliano na nchi nyingi zilizofanikiwa kuingia kwenye Fainali za Kombe la Dunia chini Afrika Kusini, na amezitaja nchini hizo kuwa ni Ujerumani, Italia,DenmarkNew Zealand, Brazil,Australia, Korea Kaskazini,Japan, Argelia na Nigeria na nchi zingine ambazo bado mazungumzo yanaendelea.
aibu Waziri kiongozi na Waziri wa Habari na Michezo Ali Juma Shamhuna (kushoto)akikabidhi vifaa vya michezo kwa mwakilishi wa Katibu Mkuu wa timu ya Simba Mohamed Kajole mara baada ya kukabidhiwa na Vodacom Tanzania ambao ni wadhamini wakuu wa kombe la Mapinduzi (katikati)Maneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Atilio Lupala
Mpiga Picha Mkuu wa gazeti la Jambole, Richard Mwaikenda akimkabidhi Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Jambo Concepts, inayochapisha gazeti la Jambo Leo na jarida la Jambo Brand Tanzania, Juma Pinto (kushoto), zawadi na tuzo alizotunukiwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT), baada ya kuibuka Mpigapicha Bora 2009.
Baadhi wa washiriki wa Mkutano wa siku mbili kuhusu Hali ya siasa Zanzibar unaoendelea katika ukumbi wa Salama Bwawani,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume alipoufungua mkutano huo jana katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,(katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mtaalam wa masuala ya Umeme Kutoka Afrika Kusini Martin Burls,wa kampuni ya EHT,(aliyenyoosha mkono),wakati alipotembelea Kituo cha kupokea Umeme Funga kuona matatizo yaliyosababish kukosekana kwa Nishati hiyo takriban wiki tatu sasa.
Mabaki ya nyumba inayoaminika aliishi bwana Yesu iliyopo huko Nazareth.
Mgeni Rasmi Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh Chabaka Faraji Kilumanga
Bondia Francis Cheka ambaye ni bingwa wa ICB akionyesha ngumi yake mbele ya Mkurugenziwa masoko na utafikti wa Benki ya CRDB Tuli Mwambapa wakati alipokabidhiwa cheki yake ya shilingi milioni 4 katika makao makuu ya benki hiyo leo mchana Cheka alimpiga bondia Isack Tarvez kutoka Brazil kwa KO juzi.
Wasanii wa Kikundi cha ngoma za asili cha Afya Art cha Manispaa ya Morogoro wakionesha ustadi wa kucheza ngona ya ‘Ngokwa’ ya Kabila ya Wamakonde wa Mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindi wakati wa hafla ya kufunga kikao cha saba cha Mkutano Mkuu wa Sekta ya Utamaduni wikiendi hii mjini Morogoro
Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais Muungano, Muhammed Seif Khatib akimsikiliza makamu mwenyekiti wa tume ya pamoja ya fedha ya jamhuri ya muungano wa tanzania bw abrahaman mwinyi jumbe jambo wakati waziri alipotembelea tume ya pamoja ya fedha ya jamhuri ya muungano wa tanzania huko zanzibar
Fracis cheka akinyanyua juu mikono kama ishara ya ushindi wake dhidi ya mpizania wake Isack Tarvez kutoka Brazil Cheka alimshinda bondia huyo kwa Technical Knock Out katika raundi ya pili ya Mchezo huo uliokuwa wa kugombea mkanda wa Dunia wa ICB uliofanyika juzi kwenye ukumbi wa PTA jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho kwa Marehemu Dr.Lawrence Gama wakati wa ibada ya mazishi iliyofanyika kijijini kwake Amani Makolo,wilayani Mbinga, Mkoa wa Ruvuma jana jioni.
Baadhi ya wahitimu wa mahafali ya sita ya Chuo cha Uongozi wa Fedha Chwaka,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani abeid Karume alipozungumza nao wakati alipowatunuku shahada juzi.
mwanamuziki wa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo JB Mpiana akipungia mashabiki wakati alipotua Dar usiku huu tayari kwa shoo yake na Tshala Muana Ijumaa hii jijini Dar katika ukumbi wa Ubungo Plaza
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha Maombolezo Nyumbani kwa Marehemu Gama Mbezi beach jijini Dar es Salaam, aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa na Katibu Mkuu wa CCM.
Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa makini mwanafunzi katika chuo cha wanyamapori Mweka, Bwana Gumbo Mbelwa Mhandeni alipokuwa akitoa maelezo ya tafiti juu ya uhifadhi wa pembe za wanayama mbalimbali wakati Rais Kikwete alipokitembelela chuo hicho jana
© Dullonet template by Dullonet.com 2009
Back to TOP