Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, December 21, 2009

Jiwe la kutengenezea chuma


Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la Maendeleo la Taifa(NDC)Chrisant Mzindakaya(Kushoto) akiangalia moja ya malighafi ya kuzalisha chuma katika Eneo la Liganga mkoani Iringa.. Kulia ni Waziri Kiongozi mstaafu wa Zanzibar ambaye ni mjumbe wa bodi hiyo Dk Gharib Bilal na katikati ni Katibu Tarafa wa Ludewa Hivi Karibuni

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP