Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, December 21, 2009

Cheka na ngumi zake.

Fracis cheka akinyanyua juu mikono kama ishara ya ushindi wake dhidi ya mpizania wake Isack Tarvez kutoka Brazil Cheka alimshinda bondia huyo kwa Technical Knock Out katika raundi ya pili ya Mchezo huo uliokuwa wa kugombea mkanda wa Dunia wa ICB uliofanyika juzi kwenye ukumbi wa PTA jijini Dar es salaam.

Bondia Mtanzania Francis Cheka kushoto akimsukumia ngumi mpizania wake Bondia kutoka Brazil Isack Tarvez katika mpambano wa Masumbwi ya kimataifa uliofanyika jana katika ukumbi wa PTA kwenye viwanja vya maonyesho vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam Cheka alishinda kwa KO round ya pili.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP