Vodacom wakabidhi Wodi ya wazazi Hospitali Ludewa
Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Iringa Pindi Chana (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo la wodi ya wazazi la hospitali yaWilaya ya Ludewe,lililojengwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania wodi hiyo imegharimu kiasi cha shilingi Milioni 42.(kushoto) ni Mbunge wa Ludewe Profesa Raphael Mwalyosi (Kulia) Mkuu wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba wakishuhudia uzinduzi huo.
0 comments:
Post a Comment