Makamanda wa CCM
Mwanasiasa Mkongwe nchini , Kingunge Mgombale – Mwiru ambaye pia ni Naibu Kamanda Mkuu wa UVCCM na Mbunge wa Kuteuliwa ( wa pili kulia) akimpongeza Mwenyekiti wa Mkoa wa CCM , Mhandisi Petro Kingu , ambaye alikuwa Kamanda wa UVCCM wa Morogoro mjini baada ya kukabidhi cheti cha utumishi kwa nafasi hiyo ambayo imechukuliwa na Pascal Kihanga ( hayupo pichani) wikiendi hii mjini Morogoro
0 comments:
Post a Comment