Rukwa na Matukio.
MAFUNDI wakijenga daraja lililopo maeneo ya Majengo katika Manuspaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa hivi leo. Daraja hili limeharibiwa vibaya kutoka na mvua kubwa za msimu uliopita na zinazoendelea kunyesha msimu huu katika maeneo mengi mkoani humo.
Picha na Rukwa Peti Siyame
0 comments:
Post a Comment