Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, March 17, 2010

Waziri mkuu wa Finland na Tanzania wazindua Taasisi ya Maendeleo Endelevu Dar es salaam

Waziri mkuu wa Finland Matti Vanhanen's na waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda kwa pamoja wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa Taasisi ya Maendeleo Endelevu Dar es salaam (Dar es salaam Institute for Sustainable Development) jana jijini Dar es salaam. Taasisi hiyo inafadhiriwa na serikali ya Finland.


Waziri mkuu wa Finland Matti Vanhanen's akiwahutubia viongozi na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Taasisi ya Maendeleo Endelevu Dar es salaam (Dar es salaam Institute for Sustainable Development) kwa lengo la kuwajengea uwezo wafanyakazi wa sekta ya umma kuelewa sera ,mipango na utekelezaji wa majukumu mbalimbali, uzinduzi huo umefanyika leo jijini Dar es salaam. Kutoka kushoto ni Waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda,Mwenyekiti wa Bodi Ms Ritva Koukku- Ronde na Balozi wa Finland nchini Tanzania Juhan Toivonen.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP