BUMACO INSURANCE COMPANY yazinduliwa

Bosi wa BUMACO Bw. Arthur Shoo akivuta kura ya shukrani wakati wa hafla hiyo

Waziri wa Fedha na Uchumi Mh. Mustafa Mkullo (kuume) akizindua kampuni ya BUMACO Insurance Company usiku huu katika kituo cha mikutano cha Dar es salaam International Conference centre jijini Dar. Shoto ni Kamishna wa Bima Bw. Israel Kamuzora akifuatiwa na bosi wa BUMACO Bw. Arthur Shoo na afisa uhusiano wa kampuni hiyo
0 comments:
Post a Comment