Wapiganaji wa Moshi wafunga mwaka 2009 na kuukaribisha 2010
Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa na mmoja wa makada wa CCM mkoani Kilimanjaro Hansy Mmasi kwenye hotel ya Hugos mjini Moshi katika kusherekea ufunguzi wa mwaka 2010
mwandishsi mwandamizi wa gazeti la Tanzania Daima Grace Macha akigonga chiazi na mwandishi mwandamizi wa magazeti ya Rai na Mtanzania Nakajumo James(wa bongo ndiyo Home) wakati wa sherehe hizo. Picha toka Bongo ndiyo home Blog
Swali; Jamani wanasherehe mbona mmetuonyesha picha za unywaji tu, inamaana wakati wa kula hakuna aliyekuwa na muda wa kamera??
0 comments:
Post a Comment