Waziri Kawambwa ndani JNIA
Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania Mhandisi Prosper Tesha(kulia) akitoa ufafanuzi jana jijini Dar es salaam kwenye chumba cha kuongozea Ndege kwa Waziri wa Miundombinu Dkt Shukuru Kawambwa (kushoto) jinsi ya uongozaji wa Ndege za ndani na njea ya Nchi zinatua katika Uwanja wa Kimatifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Waziri Kawambwa alitembea uwanja huo jana kuangalia shughuli mbali za maboresho ya uwanja huo zinazoendelea.

(Picha na Tiganya Vincent, MAELEZO)
0 comments:
Post a Comment